LIGI KUU YA UINGEREZA INARUDI, VITU 10 VYA KUANGALIA BAADA YA MECHI ZA KIMATAIFA - BZONE

LIGI KUU YA UINGEREZA INARUDI, VITU 10 VYA KUANGALIA BAADA YA MECHI ZA KIMATAIFA

Share This
SPORTS: Kwenye kuwania kombe la Dunia 2018 imeonekana ikileta furaha na hamu ya kutosha, Lakini sasa ni mda wa kurudi kwenye mkate na siagi ya ligi kuu uingereza.

wikiendi inaanza na mlipuko kwa Liverpool wakiwaalika Manchester United siku ya jumamosi mchana na kuna sababu nyingine za kusisimua na kuwafanya mashabiki kuwa na hamu katika michezo 10.

Hivi ni vitu kumi tumekuwekea kuelekea michezo ya ligi ikuu uingereza

Ufumbuzi wa Klopp;

Katika mapumziko ya mechi za kimataifa imekua fursa kwa Klopp kuweza kufumbua suluisho la matatizo yake katika eneo la ulinzi kuelekea kurudi zidi ya mchezo wao na Manchester united. Hawajaweza kutoa mikwaju iliokuwa ikielekea langoni kwao katika michezo saba ya mashindano yote na magoli 12 ya ligi kuu huku Klopp hakitakiwa kupambana kuweza kuvuka nafasi ya 6.

Lukaku kuvunja Rekodi.

Romelu Lukaku anategemewa kuwa mchezaji wa kwanza kufunga magoli 8 kwenye michezo nane ya kwanza kwenye ligi kuu akiwa na klabu yake mpya. Amekuwa wa kipekee katika kikosi cha United na amekuwa yupo fiti alivyoichezea Belgium na cyprus ukiachilia mbali kuwa na majeruhi ya enKa

Ronald kwenye mbio za kutimuliwa.Everton manager Ronald Koeman is favourite for the sack after a poor start to the season

Koeman yupo mbioni kutimuliwa na Everton baada ya mwanzo mbaya kwenye msimu huu. Historia yake kwa wiki hii ukiachilia mbali na Everton kucheza na Brighton ambao ni ving'ang'anizi, wamepoteza michezo yao kadhaa ya ligi kuu.

Je spurs watapata ushindi wao wa nyumbani kwa nara ya kwanza wakiwa Wembley?Tottenham host Bournemouth while still looking for a first league victory at Wembley

Wanakutana na Bournemouth na wanatakiwa kushinda. Wanatakiwa kupambana kwa upande wao huku Bournemouth wakiambulia alama nne msimu tangia uanze.

Uhokozi wa Zaha..Wilfried Zaha is fit for the first time since the opening day of the season for Crystal Palace

Crystal Palace ukiachilia mbali kupoteza kwao kwa michezo saba na hawana magoli walioshinda
Mchezo wao wiki hii wanakutana na vigogo wa darajani Chelsea lakin kuna shahada ya uokozi toka kwa Wilfried Zaha yupo fiti vya kutosha  tangia msimu uanze.

Nani anaweza kuwazuia Burnley?Burnley could climb as high as third in the Premier League if they beat West Ham United

Wameweza kuwachapa Chelsea na kuwazamisha Spurs na liverpool na kama wakiwapiga West ham wanaweza wakasogea hadi nafasi ya tatu uku wakitegemea matokeo mengine. Dyche amekuwa ni kocha mwenye mipango mikali msimu huu.

Tegemea kuhudumiwa pale ufikapo Etihad!!

Manchester city wameshinda michezo yao miwili iliopita nyumbani na rekodi tatu ya ushindi kwenye michezo ya nyumbani kwa magoli matano au zaidi ambapo Chelsea mwaka 2010 chini ya kocha  Ancelotti , City anacheza na  Stoke.

Jee Renato Sanchez atakuwa mzuri Swansea?Paul Clement has not yet found a system that best suits Renato Sanches at Swansea City

Matarajio makubwa sana toka kwa mashabiki. Paul clement bado ajapata mbinu nzuri itakayomfaha Sanches na mchezaji mwenyewe amekuwa katika kiwango kibovu mbali na juhudi binafsi. Siku za mapema anatakiwa kufanya chaguzi kwake binafsi ambapo Swansea wanaharaka isiyokuwa na kifani. Wanakutana na Huddersfield kwa mara ya kwanza.

Jee Wilshere upamabanaji wake utaendelea?

Jee atapa kuanza mchezo wake wa kwanza? Ameweza kufanya vizuri na Doncaster kwenye kombe la Carabao  na Bate Borisov kwenye Europa League lakini anatakiwa kujitahidi ili kurudi kwenye kiwango chake cha zamani.

Viatu vya pinkIt's Breast Cancer Awareness Month, which means plenty of players could don pink boots

Ni mwezi wa salatani ya maziwa. Ambapo wachezaji wanaweza wakavaa viatu vya pink ili kuonesha kwamba nao wanaunga mkono kampeni iyo. Usiache kumuangalia Granit Xhaka.

No comments:

Post a Comment

Pages