SPORTS: Ligi kuu uingereza imechukua mapumziko kuelekea kuelekea mechi za kimataifa hasa kufuzu kombe la dunia. Timu zote 20 zimeweza kucheza miche saba wengine wakionekana kuzidi kupanda kileleni mwa ligi hiyo huku Bunley wakionesha ubaguzi ambao wapo nafasi ya sita kwenye msimamo mwa ligi hiyoo.
Timu mbili kutokea jiji la Manchester wanazidi kukabana koo baada ya timu zote mbili kutofungwa tangia msimu uanze huku Tottenham huku mabingwa Chelsea na Asernal. Liverpool wapo nafasi ya saba.
Tunachoangalia ni watu sita ambao ndio tunaweza tukasema ndio wanaowania ubingwa na ambao wote wanakarbiana mbali na kupishana alama kazaa....
1. MANCHESTER CITY
Alama 19, tofauti ya magoli +20
Wamekuwa na matokeo ya haina gani?
La! Asha Pep Guadiola amekuwa na timu ya ushindi ambayo ameiweka kwenye kiwango bora sana kwenye ligi kuu ni ushindi lakini katika mechi zao walizo shinda na kupita katika michezo migumu wakiwa wanapaa na mabawa yenye rangi za kutoshaa.
Kwa haraka haraka tunaweza tukaona ushindi wa 5-0 na Liverpool na Jumamosi 1-0. Zidi ya Chelsea katika dimba la Stamford Bridge ushindi ambao ulio wapa nguvu ya kufukuzia ubingwa
Wakiwa na washambuliaji waliokuwa na moto zaidi na usajili wa maaana walio fanya msimu huu, City wanamagoli mazuri walio shinda, Matano ya Liverpool, sita na watford, matano zidi ya Crystalpalace.
Kwenye ulinzi city wanaonekana wapo vizuri sana ukiangalia wameruhusu magoli mawili tuu.
2. MANCHESTER UNITED
Alama 19, Tofauti ya magoli +19
Umekuwa ni mwanzo wa kufariji kwa Jose Mourinho na united yake,baada ya kutaabika msimu uliopita, kila mchezaji kwenye timu akionekana kukuwa na usajili wa msimu huu Romelu Lukaku na Nemanja Matic wamekua na matokeo mazuri katika kampeni yao ya wiki chache tangia wajiunge na mashetani wekundu
Pauni milioni 75 Lukaku, ambaye ameshinda goli 10 katika mashindano tofauti, Man United waliwachapa West ham nne, Swansea,Everton na Crystal palace waliweza kupunguza alama zao kwa kutoka sare ya 2-2 na stoke city.
3. TOTTENHAM HOTSPUR
Alama 14, Tofauti ya magoli +9
Ni picha ya kufurahisha kutoka kwa spurs ambao wameanza vibaya kwa kupokea kichapo toka Chelsea na sare ya nyumbani zidi ya Burnley wiki chache zilizo pita
Mbali na hivyo septemba wapata ushindi wa nje zidi ya West Ham na Hudderfield ukizingatia na kiwango cha Harry Kane ambaye amewezesha kwa kiwango kikubwa kuipandisha timu hiyo iyo kwenye nafasi ya 3 ambapo wanajisikia wapo nyumbani, licha hivyo ikionesha inaonelana vilabu vya Manchester vimemtangulia mbele kwa alama 5.
Mauricio Pochetino wanaonekana bado wapo kwenye mwendo wa kupanda gia namba nyingine, ni timu ambayoo sio ya kuibeza ni timu ya kuwa na hamu ya kuiona pindi usikiapo wapo uwanjani.
4. CHELSEA
Alama 13, Tofauti ya magoli +6
Ushindi minne nje ya michezo saba ikionesha mwanzo wa kutofariji au kufariji, mabingwa Chelsea teyari washapoteza michezo miwilina kujikuta wakizidiwa alama sita na maadui zao
Baada ya msimu wa mafanikio kwa Antonio Conte na kwa sasa ukijumlishia na sakata lililo wakuta la Diego Costa, Chelsea walianza kwa kula kichapo wakiwa nyumbani zidi ya Burnley. Tokea hapo mambo yakaonekana kusawazishwa na huku wakiwa na mshambuliaji mpya Alvaro Morata ambaye anacheza kwa ufubdi wa hali ya juu Chelsea wamejikuta wakipata ushindi wa mfululizo.
Lakini Jumamosi 1-0 walipoteza zidi ya Manchester city, Mabingwa watetezi kwenye akili zetu walipunguzwa mwendo na kikosi cha Guardiola. Hii inaonesha jinsi ligi msimuu ilivokuwa ngumu na Chelsea wanatakiwa kucheza zaidi ya hapo walipo.
5. ASERNAL
Mchezo wa pili na watatu wameonekana wakipoteza washika mitutu wa london 1-0 toka kwa stoke City 4-0 kutoka kwa Liverpool uhamuzi wa kumuongezea mkataba wa miaka miwili Arsene Wenger umeonekana sio wa kawaida kabisa toka kwa mashabiki. Usajili wa Sead Kolasinac and Alexandre Lacazette wameweza kuonesha kiwango kizuri.
Kutopata matokeo Stamford Bridge lakini ilikuwa ni karibu ya kufariji kurudi nafasi ya nne mwa msimamo wa ligi na klabu bingwa ulaya.
Home
Unlabelled
LIGI KUU UINGEREZA TANO BORA, JE UNAZANI NANI ATACHUKUA UBINGWA HUKU TIMU ZA MANCHESTER ZIKIONGOZA LIGI HIYO?
LIGI KUU UINGEREZA TANO BORA, JE UNAZANI NANI ATACHUKUA UBINGWA HUKU TIMU ZA MANCHESTER ZIKIONGOZA LIGI HIYO?
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment