SPORTS: Chelsea waofia usajili wao wa pauni milioni 70 Alvaro Morata atakuepo uwanjani ndani ya mwezi mmoja kwa kusumbuliwa na misuli ya paja.
mshambuliaji huyo mwenye magoli saba kwenye michezo nane tangia ajiunge na wababe hao wa darajani akitokea Real Madrid alitolewa nje kwenye mchezo wa Chelsea waliopigwa 1-0 na Manchester city baada ya dakika kumi tu.
Kocha Antonio Conte baada ya mchezo aliweza kufunguka juu ya mshambuliaji huyo juu ya kumtoa haraka na kusema Morata alikuwa kwenye tahadhari kubwa, Lakini mshambuliaji huyu alienda jijini Madrid kuangaliwa na jana jumatatu shirikisho la mpira uhispania likasema kwamba mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 24 anasumbuliwa na misuli ya paja ambayo ipo kwenye hawamu ya pili.
Home
Unlabelled
CHELSEA YAPATA OFU JUU YA MSHAMBULIAJI WAKE KUSUMBULIWA NA MISULI YA PAJA, WANAWEZA WAKAMKOSA NDANI YA MWEZI MMOJA ZAIDI YA MECHI SITA!!
CHELSEA YAPATA OFU JUU YA MSHAMBULIAJI WAKE KUSUMBULIWA NA MISULI YA PAJA, WANAWEZA WAKAMKOSA NDANI YA MWEZI MMOJA ZAIDI YA MECHI SITA!!
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment