CHELSEA YAPATA OFU JUU YA MSHAMBULIAJI WAKE KUSUMBULIWA NA MISULI YA PAJA, WANAWEZA WAKAMKOSA NDANI YA MWEZI MMOJA ZAIDI YA MECHI SITA!! - BZONE

CHELSEA YAPATA OFU JUU YA MSHAMBULIAJI WAKE KUSUMBULIWA NA MISULI YA PAJA, WANAWEZA WAKAMKOSA NDANI YA MWEZI MMOJA ZAIDI YA MECHI SITA!!

Share This
The Spain international limped out of Chelsea's 1-0 loss to Manchester City on SaturdaySPORTS: Chelsea waofia usajili wao wa pauni milioni 70 Alvaro Morata atakuepo uwanjani ndani ya mwezi mmoja kwa kusumbuliwa na misuli ya paja.Morata had made a fine start to life at Stamford Bridge following his arrival from Real Madrid
mshambuliaji huyo mwenye magoli saba kwenye michezo nane tangia ajiunge na wababe hao wa darajani akitokea Real Madrid alitolewa nje kwenye mchezo wa Chelsea waliopigwa 1-0 na Manchester city baada ya dakika kumi tu.Chelsea striker Alvaro Morata could be out for over one month with a hamstring injury
Kocha Antonio Conte baada ya mchezo aliweza kufunguka juu ya mshambuliaji huyo juu ya kumtoa haraka na kusema Morata alikuwa kwenye tahadhari kubwa, Lakini mshambuliaji huyu alienda jijini Madrid kuangaliwa na jana jumatatu shirikisho la mpira uhispania likasema kwamba mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 24 anasumbuliwa na misuli ya paja ambayo ipo kwenye hawamu ya pili.

No comments:

Post a Comment

Pages