GERALD PIQUE AONESHA MAJONZI BAADA YA KULA YA MAONI JUU YA UHURU WA CATALONIAN NA KUKUBALI KUTO ICHEZEA TAIFA LA UHISPANIA - BZONE

GERALD PIQUE AONESHA MAJONZI BAADA YA KULA YA MAONI JUU YA UHURU WA CATALONIAN NA KUKUBALI KUTO ICHEZEA TAIFA LA UHISPANIA

Share This
SPORTS: Mchezaji wa klabu ya Barcelona Gerald Pique aliuzunishwa na picha ilio oneshwa na polisi kufanya ukatili juu ya wananchi wake kuhusiana na watu walivotaka kupiga kura ya maoni Catalonia, meya wa jiji alisema watu 460 waliweza kujeruhiwa baada ya polisi kuwazuia watu wasiende kwenye vituo vya kupigia kula ya maoni huku wakidai kuwa kwa sheria ya hispania hairuhusiwi.Would-be voters clash with Spanish national police outside a polling centre in Barcelona
Pique nae akasema kucheza Nou camp  nyuma ya milango bila mashabiki kilikuwa ni kitu kibaya kuwahi kumtokea kwenue uzoefu wake kwenye soka.
Akiwa kwenye majonzi mazito moyoni na usoni alisema " watu leo hawakuonesha haina yoyote ya fujo lakini polisi wakachukua maamuzi magumu kwa kuwapiga hawa awtu leo bila uchokozi wowote" Gerard Pique trains in a shirt bearing the colours of the Catalonian flag on Sunday
Barcelona waliomba mchezo uhailishwe lakini wakaambiwa hawatakiwi kupoteza alama zao na kama wangeairisha wange kutana na lungu la kuwapunguzia alama tatu za michezo ya nyuma, Barcelona waamua kuendelea na mchezo wao bila mashabiki. 
"Ilikuwa ni ngumu sana kucheza bila mashabiki uwanjani  na ilikuwa ni historia mbaya mbaya sana kwenye maisha yangu ya soka."  

No comments:

Post a Comment

Pages