Philippe Coutinho aliweza kupiga mkwaju mzito ulio jaa kimyani ndani ya dakika ya 29 na kuwafanya majogoo waweze kutawala na kuongoza mchezo kwa dakika chache baada ya dakika saba utawala wa majogoo uliweza kuisha baada ya Joselu kuweza kurudisha goli ilo kwa ufundi wa hali ya juu na mpira ulio mgonga kwenye miguu yake mpira ambao uliozuiwa na Joel Matip na kujaa wavuni. kupitia sare hiyoo inaifanya liverpool kuporomoka hadi nafasi ya saba kwenye ligi kuu ya uingereza huku wakiwa nyuma kwa alama saba nyuma ya vinara wa ligi iyoo.
SPORTS: Liverpool waliweza kuongoza mchezo kwenye kipindi cha kwanza cha mchezo huku Newcastle wakiaangaika kuweza kurudisha goli hilo.
No comments:
Post a Comment