MIX: Mwanamitindo wa kimataifa maarufu kutoka Tanzania anayeishi Marekani, Happiness Magese ‘Millen Magese’ Baada ya kutafuta mtoto kwa kipindi kirefu, furaha yake imeendelea kuongezeka ukubwa huku akizidi kuikumbuka siku yake ya mafanikio na maamuzi magumu yaliyozaa matunda ya kupata mtoto wake wa kwanza.
Millen Magese ambaye mwaka huu alifanikiwa kupata mtoto wake wa kwanza wa kiume aitwae Prince Kairo ambaye imehesabika kuwa ametimiza mwize 13 tangu azaliwe na leo kupitia ukurasa wake wa InstagramMillen ameusherehekea mwaka wa kumbukumbu ya siku aliyofanyiwa hatua za kufanyika kwa utungaji wa mtoto wake huyo nje ya kizazi (IVF).
Home
Unlabelled
HII HNDIO SIKU AMBAYO MILLEN MAGESE AWEZI KUISAHAU MAISHANI MWAKE
HII HNDIO SIKU AMBAYO MILLEN MAGESE AWEZI KUISAHAU MAISHANI MWAKE
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment