UPO TAYARI KWA HII? USIKU WA LEO NYOTA WA ASERNAL WATAKUTANA NA SAFARI NGUMU YENYE VITISHO VILIVYOMO KWENYE HANDAKI KABLA YA KUWAKABILI WASERBIA - BZONE

UPO TAYARI KWA HII? USIKU WA LEO NYOTA WA ASERNAL WATAKUTANA NA SAFARI NGUMU YENYE VITISHO VILIVYOMO KWENYE HANDAKI KABLA YA KUWAKABILI WASERBIA

Share This
Flares and banners will be present throughout the stadium, adding to the atmosphereSPORTS: Wachezaji wa Asernal na mashabiki wao wanaenda kukutana na mhemko na vitisho kwenye dunia ya soka mpya watakapo wakabili Star Belgrade Alhamisi usiKu

Kwenye mchakamchaka wa Ligi ya Europa inaonekana washika bunduki wamesafiri kwenye uwanja wa Majko Mitic almaarufu kama Marakana, ambapo mashabiki zaidi ya 50000 wataingia uwanjani kuona timu yao ikimenyana huku kukiwaa na mabango ya kutisha.They walk through a tunnel area covered in graffiti and with a cold, dark appearance

Kama wachezaji wa Asernal hawajui kama watakutana na nini kwenye hatua hii, basi wakati wanaingia uwanjani watatembea kwenye handaki chini lenye urefu mkubwa na uwanja ukiwa kama bakuli.

Itachukua kama dakika kwenye chumba cha kubadilishia nguo kabla ya kuingia uwanjani wakiwa wanatembea kwenye handaki linalotisha  likiwa na michoro ya ajabu kwenye kuta.
 michezo mikubwa hasa kwenye mji wao 'derby' wakicheza na Partizan Belgrade namba kubwa ya polisi wenye silaha huwepo.Once they enter the arena the players will be greeted by stands packed with supporters

Makelele ya mashabiki zaidi ya 55000 kwenye viti watasikika  huku timu zikicheza, baruti za moto zenye makelele zitakua zikisikika wakati ukiwa unasogelea uwanjani.Red Star have a good history in European football, lifting the European Cup in 1991

Wamekuwa na mafanikio nje ya nchi yao pia kwa kushinda kombe la ulaya mwaka 1991 kwa mikwaju ya penati zidi ya Marseille 0-0 Bari , Italy. Pia ishawahi kuwa na majina makubwa kama Sinisa Mihajilovic, Rober Prosinecki, Vladimir Jugovic na Dejan Savicevic. Academy yao iliweza kuwazalisha watu kama Nemanja Vidic na Dejan stankovic aliechezea inter

No comments:

Post a Comment

Pages