MIX: Msanii wa muzuki Solange Knowles, ambaye ni mdogo wake na msanii Beyonce amefutilia mbali akaunti yake ya mtandao wa Twitter kwa kuonyesha kukerwa na mapigano yanayoendelea katika mji wa Charlottesville, uliopo Virginia- Marekani. Msanii huyo aliandika ujumbe katika mtandao huo kabla ya kufuta kuonyesha yupo upande wa mwadada Takiya Thompson, aliyekamatwa kwa kuhusika kuweka mkutano wa adhara unaoonyesha ukipinga ubaguzi wa rangi mji huo.
Home
Unlabelled
AFUTA AKAUNTI YAKE YA TWITTER KISA UBAGUZI
AFUTA AKAUNTI YAKE YA TWITTER KISA UBAGUZI
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment