MIX: Huenda ukawa umesikia story nyingi kuhusu magari yaliyoingia sokoni 2017 ila hii ikawa ilikupita. Ni kampuni ya kutengeneza magari ya kifahari dunia Rolls Royceimeingiza sokoni gari ghali zaidi dunia inayoitwa Rolls Royce Sweptail. Hii imekuwa kawaida kwa watu wenye fedha zao kufanya manunuzi ya magari, nyumba na vitu vingine kwa gharama kubwa na hii Rolls Royce Sweptail inauzwaDollar 13m za Marekani ambazo ni sawa na Tsh. 29b na unaambiwa utengenezaji wake umefanywa kwa miaka minne ikiwa ni agizo maalum la mteja kuanzia mwaka 2013.
Home
Unlabelled
GARI LINALOUZWA ZAIDI YA TSH BILIONI 29 LA KIFAHARI LENYE THAMANI DUNIANI
GARI LINALOUZWA ZAIDI YA TSH BILIONI 29 LA KIFAHARI LENYE THAMANI DUNIANI
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment