

Kupiti ukurasa wa Instagram member wa kundi hilo la Navy Kenzo ‘Nahreel’ amethibitish uwepo wao katika orodha ya wakali watakaotumbuiza ambapo wameongezekana katika orodha ya wasanii kama rapa kutoka marekani Future, Diamond Platnumz na Cassper Nyovest kutoka Afrika Kusini.
No comments:
Post a Comment