Akipiga stori na Dizzim Online Moni amesema kuwa ni kweli tangu ameanza muziki hajawahi kupewa ruhusa na wakubwa wa familia kwa kuwa waliamini anaweza kufanikiwa zaidi kama atatumia elimu atakayo ipata tofauti na atakapofanya muziki. Moni ameendelea na muziki bila kujali changamoto ya shangazi yake kwa lengo la kuwahakikishia kuwa anaweza kufanikia katika kitu ambacho anakipenda.

Home
Unlabelled
MONI CENTRAL ASHINDWA KUSIKILIZA USHAURI WA FAMILIA YAKE KUHUSU MUZIKI
MONI CENTRAL ASHINDWA KUSIKILIZA USHAURI WA FAMILIA YAKE KUHUSU MUZIKI
Share This
Share This
About Bwherever
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment