JE UNAWAJUA WATAKAO PERFORM KWENYE BILBOARD 2017.... - BZONE

JE UNAWAJUA WATAKAO PERFORM KWENYE BILBOARD 2017....

Share This
ENTERTAIMENT: Waandaji wa Tuzo za Billboard Music wametoa orodha ya wasanii watakaotumbuiza kwenye sherehe za utoaji wa Tuzo hizo mwaka huu.
Drake, Nicki Minja, Celine Dion, Bruno Mars, Ed Sheeran, Florida Georgia Line, Imagine Dragons, John Legend, Lorde, Camila Cabello na wengine.18298986_1786185138062035_1214654138999111680_n
Rapper Drake ndio anaongoza kwa kuchaguliwa katika vipengele 22 vya kuwania tuzo hizo akiwa pamoja na The Chainsmokers, kundi ambalo pia,wanawania tuzo hizo katika vipengele 22. Wanaofuatia ni Twenty One Pilots vipengele 17, Rihanna (14), The Weeknd (13), na Beyoncé (8).
Tuzo hizo zinatarajiwa kufanyika Jumapili ya Mei 21 mwaka huu katika ukumbi wa T-Mobile Arena mjini Las Vegas.

No comments:

Post a Comment

Pages