Chanzo kimoja kimeuambia mtandao wa TMZ pia Jim amesaini mkataba na lebo ya Roc Nation inayomilikiwa na Jay Z.
Mmoja wa watu wa lebo hiyo, Vic Mediana ameweka picha kwenye mtandao wake wa Instagram inayomuonyesha rapper huyo alisaini mikataba ya leebo hiyo na kuandika, “It’s a done deal… Jim Jones/Roc Nation. #rocnation #vamplife.”
No comments:
Post a Comment