Jose Leonardo Ulloa ameeleza kuwa Ranieri alisema atamruhusu kuondoka Leicester City na kwenda kujiunga na klabu nyingine endapo itakuja mezani ofa ya kuanzia pound milioni 4 na kuendelea, cha kushangaza kocha huyo hataki kuona nyota huyo akiondoka tena.
“Kocha wiki mbili zilizopita alisema kuwa kama ofa ya kati ya pound milioni 4 hadi 5 itakuja mezani ataniruhusu kuondoka lakini ninachokifahamu nikuwa ofa zilizokuja ni za kiwango hicho na zaidi lakini anazipotezea“
No comments:
Post a Comment