Baada ya moja ya washikaji wakaribu wa Chris Brown kupata ajali kwa gari ya Chris Brown nakutokomea katika tukio hilo bila polisi kufahamu, Chris Brown ameamua kufunguka kwamba licha ya jamaa huyo kutokomea, Breezy anajua fikra mtu aliyesababisha jambo hilo.
Sasa Bad newz ni kwamba Chris Brown ameamua kuwakacha washikaji zake kwa kuwanyima funguo za ndinga za magari yake
No comments:
Post a Comment