'Unazani Salah Unamzuiaje? Unatakiwa kufanya kama alivyofanya Sergio Ramos' Beki wa Russia Ilya Kutepov atupa jiwe kwamba atatumia Physical tactics kumzuia Mohamed Salah. - BZONE

'Unazani Salah Unamzuiaje? Unatakiwa kufanya kama alivyofanya Sergio Ramos' Beki wa Russia Ilya Kutepov atupa jiwe kwamba atatumia Physical tactics kumzuia Mohamed Salah.

Share This
Russia wanaonekana kujipanga ili kumzuia kwa nguvu zotr Mohamed Salah pale watakapo kutana na nyota huyu wa Misri kwenye kombe la Dunia mwezi huu.

Image result for mohamed salah

Nyota huyu wa Liverpool anapigania hali yake ili awe fiti kuelekea kwenye michuano ya Kombe la Dunia ambapo kwenye wiki zilizopita alipatwa na majeruhi kwenye fainali za klabu bingwa Ulaya.

Image result for mohamed salah

Salah aliweza kubanwa bega lake na beki wa Real Madrid Sergio Ramos kwenye kipindi cha kwanza Kiev na kupatwa na majeruhi mazito ya Bega akitoka uwanjani na machozi mengi.

Image result for Ilya Kutepov

Beki wa kirussia Ilya Kutepov ametoa shtaka kwa kusema amihofii Salah kwenye mchezo wao na anaamini anaweza kumzuia kama akitumia mbinu alizotumia Ramos. Aliweza kusema "Salah awezi nitisha kwene mchezo wetu na unazani anazuulika vipi? ndio unatakiwa kufanya kile alichofanya Sergio Ramos kwa mfano, Ramos ametuonesha jinsi ya kumzuia Mo Salah na sisemi kwamba niliona huruma alivyofanya vile na alivoumia kwenye zile fainali."

Image result for Ilya Kutepov

Nyota huyu wa Misri mwenye umri wa miaka 25 ameshatua Urusi akiwa na kikosi cha Misri jana Jumapili na wanajiandaa kukutana na Uruguay kwenye mchezo wao wa kwanza ambao watacheza Ijumaa

No comments:

Post a Comment

Pages