Marcos Rojo mwokozi wa Argentina! Kwani aliifanya hii kwajili yake, kwa Taifa Lake au kwasasababu ya mchezaji mmoja tu aendelee kubakia. - BZONE

Marcos Rojo mwokozi wa Argentina! Kwani aliifanya hii kwajili yake, kwa Taifa Lake au kwasasababu ya mchezaji mmoja tu aendelee kubakia.

Share This
Mpira tena mtamu sana kutoka kwa Ever Banega ambao ulifika mpaka kwenye mabega ya Lionel Messi alipokuwa anakimbia, Lionel Messi akaangalia upande wa kushoto wa goli na kufanya mauaji kwa kutumia mguu wake wa kushoto alichukua umiliki mzuri wa ule mpira.

Lionel Messi broke the deadlock with a brilliant finish after Ever Banega had found him with a sublime through ball 

Kenneth Omeruo ambae kazi yake ilikuwa kulinda alama alijua kabisa yupo kwenye matatizo kwa kiipindi kama hichi na matukio kama haya itakuwa vyema kama Messi atarudisha yale machachali yake maana alipiga ule mpira pembeni kidogo mwa Golikipa Francis Uzoho bila kubuguziwa na mtu yeyote yule ndo hapa tunaposemaga A gem of a goal from a gem of a player.

The Argentina talisman brought the ball down and his second touch teed himself up for the shot perfectly
Hili  ni kama zali tu kwenu Argentina kama msipojipanga huko mbele ata sijui nini kitaenda kutokea lakini kwa kile alichokifanya mchezaji wa Manchester United Marcos Rojo ambapo kimewapeleka Argentina kwenye hatua ya 16 bora ile haikuwa kwajili yake asee hii ilikuwa ni kwajili ya mchezaji mmoja tu kubakia hii alifanya ili kumuokoa Lionel Messi.

No comments:

Post a Comment

Pages