Inasemekana Kanye West na Chance The Rapper wanapika ngoma ya pamoja.. - BZONE

Inasemekana Kanye West na Chance The Rapper wanapika ngoma ya pamoja..

Share This
Baada ya kupata mashavu baadhi kwenye Album ya Ye inaonekana sasa Neema inawadondokea wasanii kutoka Chicago.

Image result for kanye west

Mapema ya mwezi huu Kanye aliachia album yake ya Ye ambayo imeweza kukamata namba moja kwenye iTunes na akiwa kwenye wakati mgumu baada ya kumsifia Rais wa Marekani Donald Trump sasa imeweza kusemwa kuwa Chance the Rapper ameingia kwenye Ukurasa wake Twitter na kumtetea rafiki yake huyo wa mda mrefu na kuandika kwamba "Black People don't have to be Democrats."

Image result for kanye west and chance the rapper

Kwasasa atujaweza kujua kama Chance anaweza akafanya kolabo na mkali huyu lakini kwa Uhakika tuachia masikio yetu wazi ili tuweze kusikia kitachotokea..

No comments:

Post a Comment

Pages