Kampuni hii ya kuuza miziki Online wametumia watoto wa Lil Uzi Vert, YG, Chance the Rapper, Wiz Khalifa, Dj Drama, Offset, Takeoff, Young M.A na wengine kwenye sehemu ambayo alikuwepo Lil Wayne huku kwasasa Spotify wanajaribu kukaa chini na wasanii hawa na kuwaeleza Weezy na Album ya Carter ina umuhimu gani kwao.
Pamoja na hayo yote baada ya Spotify kutangaza kuirudia Album ya Carter wasanii kadhaa ambao walikuwemo kwenye Album hiyo akiwemo TYGA pamoja na T-Pain wameeleza hisia zao juu ya kurudiwa kwa ngoma Album hiyo.
Tangia ilipoachiwa Album hii inakaribia kufikisha miaka 10 Tunechi ameweza kutoa namba kibao ya Album lakini hii ndio ilikuwa Album pendwa kwake yeye ikiwemo na Carter IV bila kusahau ile iliowachukua wasanii wa Hip Hop tuu pekee kwenye Carter V.
Lakini kwa hamu tunachosubiria kwasasa ni kuachiwa kwa ngoma mpya ya Lil wayne akiwa anatokea tena Cash Money Records mapema mwa wiki hii.
No comments:
Post a Comment