YA THE GREATEST, Manchester City wametoa heshima yao kwa Yaya Toure huku akicheza mchezo wake wa mwisho Etihad. - BZONE

YA THE GREATEST, Manchester City wametoa heshima yao kwa Yaya Toure huku akicheza mchezo wake wa mwisho Etihad.

Share This
Kiungo wa Ivory Coast amelifanya jina lake libadilike kwenye orodha ya timu kwenye ushindi waliopata wa 3-1 dhidi ya Brighton na kuwa "Legend" kwenye klabu.



Na alipewa nafasi ya kuanza kwenye mchezo huoo huku akiwa ametajwa kama naodha kwa mara ya kwanza tangia Aprili 2016 huku mchezo wa Etihad ukiwekwa kuwa mchezo wake wa Mwisho.

 Yaya Toure got a huge reception after the final whistle

Baada kupewa heshima ya watu kwa kusimama na kushangiliwa pale alipokuwa anatoka njee baada ya dakika 85 Toure aliweza kupewa jezi iliowekewa Frame.

 Yaya Toure started against Brighton - after a moving gesture in the teamsheet

Toure mwenye Umri wa miaka 34 amekuwa moja ya wacheza wa City walioweza kukaa kwa mda mrefu sana  yeye akiwa na miaka nane kwenye klabu na ligi kuu ya Uingereza  na akapata mapokezi yalio moto kabla ya mchezo kuanza.

 Ivory Coast veteran Yaya Toure battled well in midfield and was given a standing ovation when taken off after 85 minutes

Lakini Yaya ameweza kuona mazao yalio bora kwenye klabu na yanayovutia.

 Man City fans let their love for Yaya Toure be shown

Leroy Sane aliweza kutengeneza magoli matatub kwenye mchezo uliokuwa na burudani ya aina yake na kusalimika kwake kwenye kikosi cha kwanza sasa ipo wazi. 

GOOD LUCK YAYA...!!

 City supporters paid tribute to outgoing Yaya Toure

No comments:

Post a Comment

Pages