Tunapendaga kumuita MAN FOR THE JOB, Pellegrini apewa kijiti cha Moyes..!! - BZONE

Tunapendaga kumuita MAN FOR THE JOB, Pellegrini apewa kijiti cha Moyes..!!

Share This
Akiwa na umri wa miaka Mchile huyu alianza maongezi na kukubaliana na wagonga nyundo jana Usiku.

Pellegrini replaces David Moyes as manager of the Premier League club after the Scot's short-term deal wasn't renewed

Anachukua nafasi ya David Moyes ambae ametolewa na klabu baada ya mkataba wake kumalizika baada ya kushika nafasi ya 13 kwenye Ligi. Moyes alipewa Ofa ya dili jipya kati ya wiki nne zilizopita ambapo ikampelekea kuachia ngazi.

Image result for manuel pellegrin

Pellegrin ataungana na klabu hii ya London akiwa na msaidizi wake wa kuaminika yani Ruben Counsillas West Ham walikuwa na matumaini ya kuwanasa makocha tofauti tofauti kabla kunasa sahihi ya Mchile huyu akiwepo kocha wa Newcastle United Rafa Benitez.

Ex-Man City and Real Madrid boss Pellegrini shakes hands with Sullivan after putting pen to paper on his three-year contract

Pellegrin baada ya safari ndefu sasa anarudi Kwenye Ligi kuu ya Uingereza akitokea nchini Chini lakini bado atabakia kuwa ni kocha ambae atakuwa analipwa mshahara ambao upo juu, aliweza kunyakua kombe la ligi akiwa na City kwenye msimu 2013-2014 huku akitumia miaka mitatu akiwa na City kwenye dimba la Etihad na bado, pia anakumbukwa na mashabiki wa City.

No comments:

Post a Comment

Pages