Teairra Mari kuteketezwa dhidi ya mkanda wa Ngono uliovuja -Anahisi kuzalilishwa na kunyanyaswa. - BZONE

Teairra Mari kuteketezwa dhidi ya mkanda wa Ngono uliovuja -Anahisi kuzalilishwa na kunyanyaswa.

Share This
Nyota wa mapenzi na Hip hop kutokea Hollywood Teairra Mari mwenye Umri wa miaka 30 amekuwa na wakati mgumu baada ya maknda wa ngono uliovuja na kujiona amefezeheka.

Teairra Mari (REX/Shutterstock)

Ni hisia kali sana za kuzalalishwa huku watu wengi wakiwa wanamuuunga mkono na kumwambia kuwa kwasasa anatakiwaa kuwa mvumilivu kwa sasa na haikuwa kosa lake lakini kuna njia ya watu wengi kumshambulia yeye huku yeye akijishusha chini.

Teairra Mari (REX/Shutterstock)

Kitu kibaya kuwa kuna watu na watu ambao yeye akuzani kama wangemshambulia na kuna maswali labda alikuwa ni moja ya hii, inaumiza sana na asinge weza kufanya hivo na baadhi ya watu wanahisi kuna watu anawaita marafiki wamemgeuka.

Teairra Mari (REX/Shutterstock)

Hii imetokea baada ya masaa machache kuvuja kwa video ya Ngono na haikuchukua mda kwa Teairra kuingia kwenye mitandao ya kijamii kuzungumzia kwa kile kilichotokea na Plan zake kuchukua uhamuzi kwa kile kilichotokea tangia kuvuja kwa mkanda huo wa Ngono.


No comments:

Post a Comment

Pages