Mtu yoyote ambae anaelewa Mpira anajua kuwa Sergio Ramos alimuumiza Mohamed Sarah makusudi - BZONE

Mtu yoyote ambae anaelewa Mpira anajua kuwa Sergio Ramos alimuumiza Mohamed Sarah makusudi

Share This
Salah akuweza kumaliza kipindi cha kwanza kwenye fainali za klabu binga Ulaya ambapo Liverpool walijikuta wanakufa kwa magoli 3-1 dhidi ya Real Madrid.

Image result for sergio ramos vs liverpool

Lakini watu waliowengi wamekuwa wakilalama baada ya mchezo wa jana kumalizika  kwa kumlaumu mlinzi wa Madrid na Nahodha yani Sergio Ramos kama alifanya makusudi kumuumiza Salah.

Salah suffered a suspected dislocated shoulder after Ramos pulled him over and fell on his arm

Akiwa na Tatizo la Bega ndio lilompelekea kutoka nje ya uwanja baada ya kubanwa mkono na Ramos, Salah amekuwa jicho kubwa sana kwa Liverpool ambae ameweza kushinda magoli takribani 44 msimu huu na wadau wengi wa soka wakibakia kusema na kudai kwamba Ramos ndio aliemuweka Salah nje ya mchezo.

Related image


No comments:

Post a Comment

Pages