Manchester United wameanza Mazungumzo na Tottenham kwajili ya kunasa wino wa Toby Alderweireld. - BZONE

Manchester United wameanza Mazungumzo na Tottenham kwajili ya kunasa wino wa Toby Alderweireld.

Share This
Imeripotiwa kuwa Manchester  United wameanza mazungumzo juu ya kuampata Toby Alderweireld,

Image result for Toby Alderweireld

Lakini Tottenham wameripotiwa kuwa wanataka kiwango cha fedha ambacho sawa na kile cha Liverpool ambacho kililipwa na Southampton kwa Virgil Van Dijk yani £75Milioni.

Mlinzi huyu mwenye umri wa miaka 29 amekataaa ofa ya mkataba kutoka Spurs ambao una thamani ya £120,000 kwa wiki zaidi ya mara mbili ya ule aliokuwa analipwa mwanzo yani £50k kwa wiki.

Image result for Toby Alderweireld

Na Mourinho anataka kunasa saini ya Mbelgiji huyu japo anawindwa na klabu yake ya zamani Chelsea Toby alijiunga na Spurs akitokea Atletico Madrid kwa dau la £11Milioni huyu ni moja ya walinzi wanne wanaowindwa na United.

Image result for Toby Alderweireld

United wakiwa wanajiamini wanataka kufanya dili la Mlinzi huyu kwa target ya £40Milioni huku Barcelona na PSG zikiwa kwenye mawindo pia.


No comments:

Post a Comment

Pages