Kwani yupo sokoni? Klopp amuwinda Ousmane Dembele kwa Pauni Millioni 95. - BZONE

Kwani yupo sokoni? Klopp amuwinda Ousmane Dembele kwa Pauni Millioni 95.

Share This
Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp amekubali kuwa kwasasa yupo kwenye mawindo ya kumchukua mshambuliaji wa Barcelona Ousmane Dembele kuja Anfield.

Liverpool are keen on bringing struggling Barcelona forward Ousmane Dembele to the club

Mshambuliaji huyu mwenye umri wa miaka 20 alijiunga Nou Camp msimu uliopita  kwa ada ya Pauni Milioni 95 lakini amekuwa akiangaika kuweza kuweka mambo sawa baada ya kupata tatizo la misuli pale alipoanza kampeni yake ya kuicheza klabu hiyo.

Dembele pia amejikuta yupo kwenye wakati mgumu tangia alipojiunga na klabu hiyo ambapo alijiunga na  Barcelona akitokea Borussia Dortmund akiwa mtu ambae amekuja kuziba pengo la Neymar ambae alijiunga na Paris Saint Germain (PSG)




Na Klopp alipoulizwa jana kama anania na mchezaji huyo aliweza kujibu na kusema kuwa 'Kwani yupo sokoni? lakin sasa nina nia nae'

Mbali na kupona jana aliachwa nje kwenye benchi na tukimuona kacheza mchezo mmoja tu ambao kamaliza dakika zote 90 na akipata goli moja tuu kwenye Ligi.

No comments:

Post a Comment

Pages