FERGIE ANAPIGANIA MAISHA YAKE; Sir Alex Ferguson yupo kwenye vita vikali, anasumbuliwa na kuvuja kwa damu kwenye ubongo. - BZONE

FERGIE ANAPIGANIA MAISHA YAKE; Sir Alex Ferguson yupo kwenye vita vikali, anasumbuliwa na kuvuja kwa damu kwenye ubongo.

Share This
Kocha huyu wa zamani wa United mwenye Umri wa miaka 76 imesemekana kwamba yupo kwenye hali mbaya sana baada ya kukimbizwa hospitalini baada ya kupatwa na adhabu nyumbani kwake.

 He retired in 2013 after vowing to not die on the job like mentor Jock Stein

Inaeleweka Fergie alilalamika kutojisiki vizuri nyumbani kwake Wilmslow mjini Manchester siku ya Alhamisi kabla ya kuitwa kwa gari la wagonjwa Jana.

 He won Champions League titles in 1999 and 2008

Baada ya hapo akapelekwa Hospitalini chini ya ulinzi mkali wa askari kwenye hospitali ya Salford Royal Hospital, mke wake Cathy ambae alimuoa mwaka 1966 na watoto wake yani Mark, Darren na Jason ilidhaniwa kwamba wanaweza wakaonekana maeneo ya Hospitali baada ya kuwa kwenye coma.

 He retired in 2013 after claiming his 13th Premier League title

Vyanzo vya habari vinasema “Sir Alex yupo kwenye hali mbaya sana na familia yake imeshikwa na wasi wasi mkubwa sana huu ni mda mgumu sana kwao wanaomba ili aweze kulipita hili. Hawana uhakika kama anaweza akapita kwenye hili lakini wanajaribu kufanya kila liwezekanalo  na matumaini yakuwa anaweza akasimama tena.

 His son Darren missed his Doncaster sides League One clash with Wigan Athletic because of a 'severe family issue'

Kocha wa Doncaster Rovers Darren mwenye umri wa miaka 46 ambae ni mtoto wa Ferguson jana aliacha moja ya mchezo kwenye timu yake ambao walikuwa wanacheza na Wigan na kujiunga na familia yake.

 Last Sunday a smiling Fergie, who landed 13 league titles with United, appeared on the pitch to present outgoing Arsenal boss Arsene Wenger with a gift on his last visit with the Gunners

Hali hii imeanza baada ya wili moja tu baada ya Ferguson kusimama mbele ya mashabiki 75000 kwenye dimba la Old Trafford.

GET WELL SOON FERGIE...

No comments:

Post a Comment

Pages