Drake Adondosha Ngoma mpya "i'm UPSET" - BZONE

Drake Adondosha Ngoma mpya "i'm UPSET"

Share This
Baada yakujiweka vyema kwenye mitandao tofauti akiwa yupo kwenye mipango ya Album mpya Siku ya Jumamosi Usiku Drizzy amedondosha ngoma yake mpya ikijulikana kama "I'm Upset" ni ngoma ambayo inatokea kwenye album yake mpya inayotarajiwa kutoka ikijulikana kama Scorpion Album.

Image result for drake

Drizzy ameleta ladha tofauti kabisa kushinda kwenye ngoma yake ya Nyuma "Nice For what" huku ngoma hiyo ikijikuta ikiwa imepikwa kwenye Ubora zaidi kupitia mikono ya OOgie Mane huku Drake akiweka vionjo vya aina yake kwenye Chorus akianza kwa kusema   "So offended that I had to double check/I'ma always take the money over sex/That's why they need me out the way/What you expect?"

Image result for drake

Ila Album mpya ya Drizzy inatarajiwa kutoka mwezi ujao huku tarehe na siku bado haijajulikana  tunachojua kwasasa itakuwa chini ya Broskies Noah "40" shebib na Oliver El- Khatib hawa wote wakiingiza mikono yao kuipika Album hiyo huku kukiwa na huwezekano wakuwa na Collabo pamoja na Dj Premier.

Ebu jaribu kuisikiliza ngoma yenyewe ya Drake hapo chini nimekuwekea....

No comments:

Post a Comment

Pages