Chris Brown kaumizwa na kuchukizwa baada ya Rihhana kudai penzi lao halikuwa la msingi kwake yeye...! - BZONE

Chris Brown kaumizwa na kuchukizwa baada ya Rihhana kudai penzi lao halikuwa la msingi kwake yeye...!

Share This
Chris Brown mwenye umri wa miaka 28 amejisikia kukosewa baada ya Rihhanna alipofanya interview na Vogue ambapo alisema kuwa "sijawahi kukutana na mtu alie na thamani hapo nyuma" Mahusiano yake ya sasa ambayo anatoka na Hassan Jameel. 

 After Chris dissed Riri in one of his songs — calling her a “b***h” – RiRi de-followed him on Twitter in May 2012. 
(FameFlynet)

Vyanzo vya habari vya karibia na Chris Brown vimesema kuwa Chris anajisikia vibaya sana baada ya kusikia maneno hayo huku vikidai kwamba vitu walivyokuwa navyo vilikuwa vinatakiwa kuwa na uvumilivu lakini haitokuja kusaurika kwake yeye.

Chris and Rihanna have been spotted clubbing mutliple times together throughout the year in L.A. and NYC. 
(FameFlynet)

Chris anajua kwamba mahusiano yao yalikuwa ya kweli lakini kuna vitu vidogo vilikuwa vinakosekana  lakini kwa upande mwengine Chris amesema kuwa Rihhanna kuna vitu anavikwepa pembeni hataki kuweka wazi.

In February 2012 Chris also sang in Rihanna’s “Cake” remix. Many speculated the two were going to get back together. This was right around the Grammys when they reportedly spent hours in a dressing room together. 
(FameFlynet)

Lakini Chris sio wa zamani kwa Rihhanna kushtushwa kutokana na maneno aliyoweza kusema kwenye Interview ya Vogue na vile vile Rihhanna amekubali kuwa hana urafiki wowote kwasasa na Drake.

No comments:

Post a Comment

Pages