'YEYE NI MUHIMU SANA' LUKA MODRIC AMKINGIA KIFUA GARETH BALE BAADA YA ZIDANE KUSEMA ATOMJUMUISHA KWENYE KIKOSI CHAKE KITAKACHO MENYANA NA JUVENTUS. - BZONE

'YEYE NI MUHIMU SANA' LUKA MODRIC AMKINGIA KIFUA GARETH BALE BAADA YA ZIDANE KUSEMA ATOMJUMUISHA KWENYE KIKOSI CHAKE KITAKACHO MENYANA NA JUVENTUS.

Share This
Luka Modric has backed Gareth Bale to make the starting line-up against JuventusRafiki wa karibu wa Gareth Bale kwenye chumba cha kubadili nguo Real Msadrid Luka Modric ameweza kumtetea mshambuliaji wa timu hiyo kuweza kujumuishwa kwenye kikosi kitacho cheza mchezo wa klabu bingwa ulaya kwa siku ya Jumanne dhidi ya Juventus lakini Zinedine Zidane akuweza kutoa dalili zozote za kikosi chake kitakachoweza kuanza mjini Turin.

Welsh forward Bale played in Real Madrid's La Liga match against Las Palmas at the weekend

Tukiongelea nyuma kidogo wachezaji wote waliweza kuulizwa juu ya Bale ambae alishinda mara mbili siku ya Jumamosi pale madrid walipoibuka na ushindi wa goli 3-0 dhidi ya Las Palmas lakini kwa kesho anaweza akapoteza nafasi yake kwenye kikosi cha kwanza dhid ya Juventus.



Modric alinukuliwa akisema 'Gareth anafuraha sana kwa mda huu. Imekuwa ngumu sana kwenye msimu huu kwa upande wake alipokuwa akisumbuliwa na majeraha lakini anafanya mazoezi vizuri na kila mchezo anao cheza anazidi kuimalika.' 



'wote tunajua nini analeta kwenye timu pale anapokuwa yupo vizuri na sawa anaoneshaga ubora wake upo wapi. Ni muhimu sana kwetu sisi anatusaidia na ndomana  nasema kwanini muhimu  kwetu sisi.

No comments:

Post a Comment

Pages