Alvaro Morata alishinda goli la uongozi kwa Chelsea lakini Spurs waliweza kurudi mchezini kupitia Christian Eriksen kabla ya mapumziko.
Ali alibana magoli mawili ambayo yaliweza kuwapa alama Spurs na kufanya watu wengi kuhumia vichwa kuwa mchezaji anae achwa kwenye kikosi cha Gareth Southgate.
'Watu wananipa lawama sana kwa jinsi ya mchezo ninavocheza,' alisema mshambuliaji huyi mwenye umri wa miaka 21 'kwangu mimi ilikuwa ni kama kutoa msaada kwenye timu yangu kwa kile ninachoweza kukifanya, nimejaribu zaidi na zaidi.'
'Sizani kama nina cha zaidi kuthibitisha kwamba mimi ndo yule yule, nilitakiwa tu kuwepo kwenye kikosi cha kwanza ili niweze kutoa msaada kwenye timu yangu na nimefanikiwa kwa kupata magoli mawili.'
Kocha wa Spurs Mauricio Pochettino aliongoza timu yake kupata ushindi kwenye dimba la Stamford Bridge tangia mwaka 1990.
No comments:
Post a Comment