SAMAHANI SELENA GOMEZ JUSTIN BEIBER AMETUAMBIA MPENZI WAKE WA KWANZA SIKU ZOTE ATAKUWA NGOMA! - BZONE

SAMAHANI SELENA GOMEZ JUSTIN BEIBER AMETUAMBIA MPENZI WAKE WA KWANZA SIKU ZOTE ATAKUWA NGOMA!

Share This
Sorry, Selena Gomez - Justin Bieber's first love 'will always be' drumsJustin Beuber amekubali tangia anakua amekua akipiga ngoma na inaonekana ata leo hii bado anafanya hivo bado anamapenzi tosha na ngoma kwa vitu vyote anavyovifanya.

Sorry, Selena Gomez - Justin Bieber's first love 'will always be' drums

Kupittia kwenye ukurasa wake wa Instagram Bieber alipost video iliokuwa na rangi nyeupe na nyeusi ikimuonesha yeyey akiwa anapiga ngoma. Huku kwenye caption yake akiandika 'Drums will always be my first love.' 

sasa tunajua sahau kuhusiana na mambo yale ya utotoni na yale mapenzi ya utotoni, sahau kuhusu mahusiano yake na Selena Gomez na pia sahau kila kitu kingine pia ilikuwa na itakua siku zote ni ngoma kwa Beiber.

Baadhi ya mashabiki wanamatumaini kuwa kwenye kipande icho cha video kinatoa mawazo yakuwa anajaribu kutafuta namna ya kupata hisia ya kuandika nyimbo mpya akiwa na album yake ya mwisho ambayo ilitoka kipindi kirefu kidogo sasa anajaribu kuandaa kitu kipya kingine.

Je nani yupo teyari kwajili ya Bongo-heavy album kutoka kwa Justin Beiber? 

No comments:

Post a Comment

Pages