SAM ALLARDYCE ATAKAA CHINI NA WAYNE ROONEY WIKI HII ILI AJUE KWANINI ALIKASIRIKA WAKATI ANATOLEWA DHIDI NA LIVERPOOL. - BZONE

SAM ALLARDYCE ATAKAA CHINI NA WAYNE ROONEY WIKI HII ILI AJUE KWANINI ALIKASIRIKA WAKATI ANATOLEWA DHIDI NA LIVERPOOL.

Share This
Allardyce said: 'We'll talk it through and see how he feels. I'm sure he's calmed down now'Kocha wa Everton Sam Allardyce maarufu kama 'BigSam' atakaa chini na mshambuliaji wa timu hiyo Wayne Rooney wiki hii ili kuongelea kwanini alipatwa na hasira wakati anafanyiwa mabadiliko kwenye mchezo dhidi ya mahasimu wao Liverpool.

Sam Allardyce will sit down with Wayne Rooney and discuss his reaction at being substituted

Mshambuliaji huyo mwenye Umri wa miaka 32 alikuwa hanausawishi mkubwa kwenye mchezo huo kwahiyo nafasi yake ikaweza kuzibwa na Idrissa Gueye kwenye dakika ya 57 kwenye sare ya 0-0 katika dimba la Goodison Park na hisia zake kuonesha kuwa hakupenda kitendo cha kutolewa na kocha wake.

Rooney refused to shake Allardyce's hand after being taken off against Liverpool on Saturday

Lakini kwa haraharaka BigSam aliweza kunukuliwa akisema 'Atukufanya mabadiliko ya Wayne tu tulifanya mabadiliko ya watu watatu kwa haraharaka na mwisho tukamaliza mchezo tukiwa na nguvu kuzidi Liverpool na tulikuwa tunakaribia kushinda ule mchezo.'

The Everton midfielder also exchanged words with assistant head coach Duncan Ferguson

'Kama kocha ni kitu ambacho unachotakiwa kukifanya bila kujali nani yupo uwanjani kama ukiwabadilsha unaangalia mchezo unavoenda na hapo ndo unatakiwa ufanye maamuzi ambayo yatawapa matokeo yalio  chanya na kuweza kushinda mchezo husika.'

No comments:

Post a Comment

Pages