
![]() |
Wachezaji wa Chelsea wakishangilia goli la Azpilicueta |
Cesar Azpilicueta mapema tu aliwapeleka kifua mbele wanadarajani lakini mbali na hiyo walitawala kila idara huku wagonga nyundo wakijitahidi kuimili mikiki ya Chelsea kwa kufanya baadhi ya uwokozi iliobora.
![]() |
Noble na Hernandez wakishangalia goli la kusawazisha |
Na pale Gary Cahill alipoweza kuzuia kichwa kilicho miminwa na Marko Arnautovic na mpira kurudi tena ndani ya chumba na kukutana na mviziaji mwenye asili ya kimexican na kuunganisha mpira huo moja kwa moja wavuni na kufanya matokeo yawe sare ya 1-1
![]() |
Willian alipo pokea mpira na kukutana na Joe Hart |
![]() |
Goli pekee la Chicharito kwa West Ham |
David Moyes kwa upande wake alama ata moja ilikuwa na thamani kubwa sana kwake yeye na kumfanya kuzidi kuikimbia safari ya kushuka daraja, Ebu ngoja tumkumbushe Conte kwasasa anaalama 57 alama 3 zaidi ya Arsenal ambaye yupo nafasi ya sita shauri yake na yeye Uefa ataiota.

No comments:
Post a Comment