NI KLOPP VS GUARDIOLA.....ROBO FAINALI YA KLABU BINGWA ULAYA. - BZONE

NI KLOPP VS GUARDIOLA.....ROBO FAINALI YA KLABU BINGWA ULAYA.

Share This
Jurgen Klopp will come up against Pep Guardiola in an all-Premier League quarter-finalLiverpool na Manchester city watakutana kwenye ligi ya mabingwa Ulaya katika hatua ya robo fainali.
Wababe hawa wa Uingereza wamejikuta wapo pamoja baada ya kufanikiwa kusonga kaitika hatua ya robo fainali.

Mohamed Salah inspired Liverpool in a 5-0 win over Porto to kill the tie in the first leg
Vijana wa Klopp waliweza kupita hatua ya 16 bora baada ya kuwatoa Porto na watawakaribisha vijana wa Pep Guardiola kwenye mzunguko wa kwanza katika dimba la Anfield.

Sergio Aguero, Kevin De Bruyne and Bernardo Silva celebrate their dominant win over Basle

Kwa upande wa Manchester City waliweza kusonga mbelee baada ya uitembezea kichapo Basel kwa kushinda ugenini 4-0 na kula kichapo cha 2-1 wakiwa nyumbani.

Cristiano Ronaldo was the star for Real Madrid as they knocked out early favourites PSG

Mabingwa watetezi Real Madrid watakutana tena Juventus ikiwa inarudiwa fainali ya msimu uliopita .

Gonzalo Higuain and Paulo Dybala combined across two legs to knock out TottenhamCristiano Ronaldo na uongozi wake waliweza kushinda michuano iliopita kiwa ni mara tatu mfululizo jee wataendeleza ubabe huo.

Lionel Messi scored three goals across two legs against Chelsea to help Barcelona through

Huku wababe wa Hispania Barcelona kwao inaonekana kama wamepata ganda la ndizi kwa kupata njia ya kujipeleka nusu fainali kilaini..

 

pale watakapo kutana na Roma.
Lionel Messi ameleta ushawishi mkubwa sana kwenye michuano ya msimu huu kwa kuibamiza Chelsea kwenye mzunguko uliopita.

Wissam Ben Yedder scored two goals at Old Trafford to see Sevilla past Manchester United

Bayern Munich wao wataenda kuonana uso kwa uso na wababe wa United ambao ni Sevilla.

The Champions League trophy is displayed at Friday's draw at UEFA HQ in Nyon, Switzerland

Mzunguko wa kwanza utaenda kuanza  Aprili 3/4 huku marudiani yakiwa baada ya wiki ambayo iatenda kuwa tarehe 10/11 Aprili.

Mechi zenyewe hizi hapa,

The Champions League quarter-final in full following the draw made at UEFA HQ on Friday

No comments:

Post a Comment

Pages