HEBU MSIKIE HUYU, 2 PAC AFUFUKA NA ANAISHI NDANI YA MWILI WAKE....! - BZONE

HEBU MSIKIE HUYU, 2 PAC AFUFUKA NA ANAISHI NDANI YA MWILI WAKE....!

Share This
Aliyekuwa staa wa kipindi cha Tv cha Vanderpump Rules na filamu ya Southern Fury,Lala Kent anasema Tupac yuko hai ndani ya mwili wake
Lala Kent anasema “Naimani kuwa Tupac alivyokufa alichukua mwili wangu na kuendelea kuishi duniani, najua mnanicheka ila mimi niko REAL, hivi karibuni nimejichora tattoo ya THUG LIFE kama ya 2 Pac kwenye mguu wangu wa kulia”
2 Pac amefariki miaka 22 iliyopita, ilikuwa September 1996, Shakur alipigwa risasi mara nne mjini Las Vegas nakufariki siku 6 baadae akiwa na umri wa miaka 25.

No comments:

Post a Comment

Pages