HAKUTOKUA NA MAZUNGUMZO YEYOTE MPAKA PALE WATAKAPOBAKIA KUWA SALAMA. - BZONE

HAKUTOKUA NA MAZUNGUMZO YEYOTE MPAKA PALE WATAKAPOBAKIA KUWA SALAMA.

Share This
Manager David Moyes maintains there will be no contract discussions until West Ham are safeDavid Moyes ametoa yake ya moyoni kwa kusema kuwa hakutokuwa na mazungumzo yeyote kwa yeye au wachezaji wake mpaka pale West Ham watakapokuwa salama.West Ham's Chicharito (left) Joao Mario (centre) and Manuel Lanzini during training on Friday

Ilitaarifiwa wiki hii kwamba mbali na mmiliki wa klabu hiyoo David Sulivan na David Gold  wanataka David Moyes abakie mpaka pale msimu utakapo malizika. Na imeshtakiwa kuwa wagonga Nyundo wa London wapo mbioni kumpiga kitanzi Manuel Lanzini kwa kumpa mkataba mrefu ambapo Muargentina huyoo amebakiza miaka miwili kuweza kukamilisha mkataba wake akiwa na uchaguzi wa kuongeza mda.Moyes' side travel to Swansea in the Premier League on Saturday with an unchanged squad

Mbali na hiyoo Moyes alisema "Siku zote hakuna mtu anaetaka kupotezaga kilicho bora kwake na hakuna kocha anaetaka kuwapoteza wachezaji wake walio bora kwenye kikosi, lakini kwasasa tunajiangalia sisi wenyewe mpaka palee tutakapo jijua bado tupo kwenye ligi kuu

No comments:

Post a Comment

Pages