GENNARO GATTUSO HAWAPELEKA VIJANA WA AC MILAN FAINALI NA WANAENDA KUKUTANA NA JUVENTUS... - BZONE

GENNARO GATTUSO HAWAPELEKA VIJANA WA AC MILAN FAINALI NA WANAENDA KUKUTANA NA JUVENTUS...

Share This
Gennaro Gattuso's AC Milan side have set up a mouth-watering Coppa Italia final with JuventusBaada ya michezo 13 bila kufungwa pamoja na penati 5-4 na kupata ushindi dhidi ya Lazio na kuwafanya kusonga hadi fainali ya Copa Italia dhidi ya Juventus.The Lazio players were left distraught after seeing their team-mate miss from the spot

Baada ya mchezaji wa Lazio Luiz Felipe kupiga penati ilioenda kugonga besela kiungo mkabaji wa kati kutoka Milan Alessio Romagnoli ambae aliekuwa na makuzi ya kuwa shabiki wa Lazio ambae aliwakazia Lazio wasiweze kupata ushindi.Milan booked their spot in the final with a 5-4 victory on penalties over Lazio on Wednesday

Mchezo uliishia 0-0 baada ya mda wa nyongeza katika mzunguko wa kwanza napo walitoka bila kufungana huu ulikuwa ni mchezon wa pili kwa Milan baada ya siku nne kwenye dimba la Stadio Olimpico baada ya kuipa Roma kichapo cha 2-0 kwenye ligi ya Serie AThe AC Milan players sprinted over to celebrate with Romagnoli after the decisive penalty

Mchezo unafuata kwa vijana wa Gennaro Gattuso wanaenda kucheza Milan derby alafu baada ya hapo wanaenda kucheza na Arsenal kwenye mchezo wa Europa kwenye hatua ya Robo fainali. Boyhood Lazio fan Alessio Romagnoli scored the winning penalty to knock them out 

No comments:

Post a Comment

Pages