BEKI WA REAL MADRID RAPHAEL VARANE AKUBALI MANCHESTER UNITED WAMEFANYA MAWASILIANO NAYE .., - BZONE

BEKI WA REAL MADRID RAPHAEL VARANE AKUBALI MANCHESTER UNITED WAMEFANYA MAWASILIANO NAYE ..,

Share This
Raphael Varane has revealed that Manchester United have been in touch over his signatureBeki wa Real Madrid Raphael Varane amethibitisha kuwa Manchester United wamefanya nae mawasiliano ya kutaka kumsainisha msimu huu.





Mfaransa huyu ambae amekuwa moyo wa Zineddine Zidane kwenye upande wa ulinzi msimu huu huku wa kitaka kumuweka mpaka pale watakapo hakikisha wanachukua ubingwa wa klabu bingwa Ulaya.

Jose Mourinho bought Varane from Lens for Real Madrid in 2011

Amecheza dakika zote 90 kwenye michezo yote ya La liga ukiachilia mbali ule wa PSG. Kwa shughuli alioionesha imefanya kocha wake alieweza kumchukuaga kipindi cha nyuma Jose Mourinho ambae alimsajili mwaka wa 2011.

Varane in Champions League action against United, and Danny Welbeck, in 2013

Pale alipoulizwa na mwandishi wa kireno El Larguero kama amefanya mawasiliano yoyote juu ya uhamisho Varane alijibu 'hapana, sio moja kwa moj. kulikuwa hakuna mawasiliano yoyote.'

'Nijasikia huru sana pale napokuwa na wachezaji ambao wanakasi' alisema. 'Kwa kiwango changu nisinge kataaa kwenda, kama watakuwa na nguvu sitoacha kwenda wala kucheza. Kama Lukaku kwa mfano, Ni mshambuliaji ambae ananguvu Duniani. Unatakiwa ucheze kwa utofauti sana.' Alisema Varane.

No comments:

Post a Comment

Pages