Alisema: ‘Iko wazi kabisa alikuwa kosa langu et nilikuwa nipo Brazil, wote tunajua nini kilitokea pale lakini nimerudi kwasasa na ninataka kufanya zaidi.’
Costa amekuwa akichuana na Alvaro Morata sio leo tuu tangia mwanzo kwenye kikosi cha Uhispania na huku mipango ya Julen Lopetegui ikiwa inamtaka Diego Costa.

Costa alifunguka na kusema ‘Nimemkumbuka sana Morata kwasababu tunaelewana sana mashindano siku zote ni mazuri. Morata amekuwa na mda mbayaa kwenye timu yake japo kwasasa amerudi na anashinda kwa sasa na nina amini atakuja kujiunga na sisi hivi karibuni.’
Costa aliulizwa juu ya mchezaji mwenzak wa Atletico Madrid kama kuna uwezakano wa kujiunga na Barcelona msimu ujao Costa akaongezea ‘Griezman bado yupo na sisi na nina amini kwamba atakabaki.

No comments:
Post a Comment