Manchester united wanaweza wakawa wamecheza masaa 10 kwenye dimba la Newcastle na hawakushinda alisema Jose Mourinho baada ya kupokea kipigo cha bao 1-0 kwenye ardhi ya St James Park.
Goli la Matt Ritchie kwenye dakika ya 65 kumeweza kuwa fanya mashetani wekundu kupoteza mchezo wa tano kwenye ligi msimu huu.
Kwa upande wa Mourinho walipiga mashuti 13 sita yakienda langoni moja kwa moja na sasa wamepitwa alama 16 na majirani zao Manchester City
Kupoteza kwa Jose Mourinho kumemfanya kupoteza mara kwenye ligi pale anapotua kwenye dimba la St james kwa mechi saba bila ushindi.
Mourinho alisema "walicheza kama wanyama" wameshinda nyumbani kwa mara ya kwanza tangia Oktoba.
Antony Martial, Alexis Sanchez na Jesse Lingard wote walikosa nafasi kwa wageni pamoja na Newcastle na usumbufu wa goli kipa Martin Dubravka akiwa amesajiliwa kwa mkopo.
Home
Unlabelled
MAN U WANAWEZA WAKAWA WAMECHEZA MASAA 10 BILA KUSHINDA.................!
MAN U WANAWEZA WAKAWA WAMECHEZA MASAA 10 BILA KUSHINDA.................!
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment