HAKUNA MESSI WALA SUAREZ, TATIZO DOGO; BARCA WAMESHINDWA KUPATA MATOKEO BILA NYOTA WAO LAKINI DEMBELE KARUDI BAADA YA MAJERUHI YA MIEZI MINNE - BZONE

HAKUNA MESSI WALA SUAREZ, TATIZO DOGO; BARCA WAMESHINDWA KUPATA MATOKEO BILA NYOTA WAO LAKINI DEMBELE KARUDI BAADA YA MAJERUHI YA MIEZI MINNE

Share This
Dembele was given 20 minutes but struggled to make an impact in Barca's 1-1 draw in this first-leg last-16 Copa del Rey game Usajili mkubwa wa Barcelona kwenye historia aliweza kurudi dimbani akitokea majeruhi lakini akuweza kuleta ushawishi kwa timu yake ili kuweza kupata matokeoo dhidi ya Celta vigo kwenye kombe la uhispania Copa de rey.

Ousmane Dembele aliweza kupewa dakika 20 lakini alipigana na kufanya au kuleta matokeo kwa  arca ya 1-1 kwenye mzunguko wa kwanza kwenye 16 bora ya Copa de Rey.Ousmane Dembele (left) came on as a second-half substitute to make his injury return after a four-month lay-off Youngster Arnaiz impressed up-front with the likes of Lionel Messi and Luis Suarez rested for the Copa del Rey fixture

 Usajili huo wa £97 milioni kwa Mfaransa huyo alipigana kufa na kupona kwenye mvua dhidi Celta Ambao walionekana kama wamewafunga Barca na isingekuwa kwasababu ya kinda aliekuwa kwenye mawindo na Arsenal Jose Arnaiz goli lake la kwanza kwenye kipindi cha kwanza.Jose Arnaiz (right) celebrates after opening the  scoring with a crisp finish following some good work from Andre Gomes 

Aliwafanya Barca kuwa mbele kwa robo saa hivi, Denis Suarez ambae alibeba mpira  hadi kwenye nusu ya Celta vigo, Andre Gomez akiendelea kwenda chini upande wa kushoto na kumimina jalooo kwa Arnaiz ambae aliweza kuzika ndani ya wavu kwa goli lenye mvuto zaidi.Arnaiz (right) is beaten to the ball by midfielder Daniel Wass (right) as the Celta Vigo man slides in to clear the danger 

No comments:

Post a Comment

Pages