CHELSEA WANATARAJIWA KUFANYA UHAMISHO WAKUSHTUA KWA PETER CROUCH NA HUKU WAKIMNYEMELEA NYOTA WA CRYSTAL PALACE CHRISTIAN BENTEKE - BZONE

CHELSEA WANATARAJIWA KUFANYA UHAMISHO WAKUSHTUA KWA PETER CROUCH NA HUKU WAKIMNYEMELEA NYOTA WA CRYSTAL PALACE CHRISTIAN BENTEKE

Share This
Chelsea are considering a surprise loan move for 36-year-old Stoke City striker Peter CrouchChelsea wanatarajiwa kufanya uhamisho wa mkopo utakao washtua watu wengi kwa kumvuta mshambuliaji mwenye umri wa miaka 36 kutokea Stoke city  Peter Crouch.

Klabu iyo kutokea darajani wanaonekana kususua kwenye uhamisho namba 1 wa mshambuliaji wa West Ham Andy Carroll ambae atakua nje kwa miezi michache akiwa anasumbuliwa na majeuhi ya enka.The Blues only want short-term deal as they will consider other transfer targets in the summer

Chelsea wanataka dili la mda mfupi kwa kuwanyemelea washabuliaji wengine akiwemo Peter Crouch  ambapo Stoke hawatotaka kumtoa mshambuliaji huyo kwa mkopo na vile vile watataka mtu mabae atakae kuja kuziba pengo la Crouch pale atakapo ondoka.

Lakini wanadarajani bado wanamkodolea macho mshambuliaji wa Crystal Palace Christian Benteke  mbali na kuwa na ukame wa magoli  katika ligi kuu uingereza msimu huu.Antonio Conte is also keeping an eye on Crystal Palace's out-of-form striker Christian Benteke

Mbelgiji huyoo anagoli moja tuu msimu huu kwa mwewee hao msimu huu lakini Antonie Conte ajali hiloo.

No comments:

Post a Comment

Pages