Zlatan Ibrahimovic hajawahii kuwa namba 10 tegemezi na kamwe hatokuwa. Hameifanya Manchester united kuwa slow sana.
Kwa matokeo ya Ibrahimovic na Romelu lukaku kwa pamoja hawakufanya kazi kwenye boxing day.
kwa upande wa Jose Mourinho alionekana kupoteza uwezo wa kuuwa tangia mechi ya Leceister City alitaka wauuwaji wake wote wawili kumaliza mchezo na kuamua matokeo na kupata alama lakini haikuwa hivo.
Lakini halishindwa, kitu ambacho Mourinho amekionesha pale alipo mtoa Ibrahimovic katika kipindi cha mapumziko united wakiwa nyuma ya magoli mawili.
kwa upande mwingine Ibrahimovic alikuwa anaonekana anaingia sana kwenye eneo la uaji lakini wakawa hawaonani na Lukaku. Ukabaji wa Bunley ulikuwa wa kufurahisha sana na wa kupendeza vibaya mnoo na kuwafanya waongoze mbele kwa kila kitu na kiukweli walikuwa hawapo kabisa kwenye msukumo na presha.
Ikumbukwe kuna shule ya huelewa kwenye klabu kwa miaka 36 alikuwa bado hanaonekana bado hajarudi kwenye kile kiwango chake tangia hatoke kwenye majeruhi ya goti.
No comments:
Post a Comment