ZLATAN IBRAHIMOVIC NA LUKAKU HAWAWEZI KUANZA PAMOJA...JARIBIO HILI LISIJIRUDIE TENA. - BZONE

ZLATAN IBRAHIMOVIC NA LUKAKU HAWAWEZI KUANZA PAMOJA...JARIBIO HILI LISIJIRUDIE TENA.

Share This
SPORTS: Inzweza ukawa ni msuguano wa haina yake kuiita huu ni msuguano wa haina yake lakini haijarishi kama ilikuwa ni jaribio au laah..! lakini hisijrudie tena hasa kwenye hatua ya kuanza pamoja.
Zlatan Ibrahimovic had an afternoon to forget as Manchester United toiled against Burnley
Zlatan Ibrahimovic hajawahii kuwa namba 10 tegemezi  na kamwe hatokuwa. Hameifanya Manchester united kuwa slow sana.
So did Romelu Lukaku - as the duo failed to click together up front during the first half
Kwa matokeo ya Ibrahimovic na Romelu lukaku kwa pamoja hawakufanya kazi kwenye boxing day. 

kwa upande wa Jose Mourinho alionekana kupoteza uwezo wa kuuwa tangia mechi ya Leceister City  alitaka wauuwaji wake wote wawili kumaliza mchezo na kuamua matokeo na kupata alama lakini haikuwa hivo.Lukaku looked isolated at times up front during the first half with Ibrahimovic playing No 10

Lakini halishindwa, kitu ambacho Mourinho amekionesha pale alipo mtoa   Ibrahimovic katika kipindi cha mapumziko united wakiwa nyuma ya magoli mawili.Ibrahimovic rustiness was evident as he made his first Premier League start for 261 days
kwa upande mwingine Ibrahimovic alikuwa anaonekana anaingia sana kwenye eneo la uaji lakini wakawa hawaonani na Lukaku. Ukabaji wa Bunley ulikuwa wa kufurahisha sana na wa kupendeza vibaya mnoo na kuwafanya waongoze mbele kwa kila kitu na kiukweli walikuwa hawapo kabisa kwenye msukumo na presha.

Jose Mourinho will have plenty food for thought about his front two after Boxing Day's displayMourinho hana watu ambao wapo busy sana na wanaushawishi mkubwa na waelewa ni washambuliaji ambao wanaweza kuleta athari mda wote wote ule lakini kwa mpango ya hawa wawili pamoja ikiwa kama mpango A inaweza ikawa huzuni kwa United.

Ikumbukwe kuna shule ya huelewa kwenye klabu kwa miaka 36 alikuwa bado hanaonekana bado hajarudi kwenye kile kiwango chake  tangia hatoke kwenye majeruhi ya goti. 

No comments:

Post a Comment

Pages