REAL MADRID,BARCELONA NA BAYERN WAPO SLOW, ATLETICO NA DORTMUND WAPO HOI, KWAHIYO TUNAWEZA TUKASHANGAZWA NA MSHINDI MPYA WA KLABU BINGWA ULAYA? - BZONE

REAL MADRID,BARCELONA NA BAYERN WAPO SLOW, ATLETICO NA DORTMUND WAPO HOI, KWAHIYO TUNAWEZA TUKASHANGAZWA NA MSHINDI MPYA WA KLABU BINGWA ULAYA?

Share This
Luis Suarez lets out a cry of frustration as Barcelona failed to secure the three points in GreeceSPORTS: Tushazoea kuwaona timu kama Real Madrid, Barcelona na Bayern Munich wakivuka atua ya makundi na mara nyingi kuchukua ubingwa.The Spurs players are buoyant after producing a clinical performance to overcome holders 

Mbali na hiyo msimu huu unaweza ukawa ni wakutushangaza. Hii picha imeweza kuonwa jana usiku Tottenham walivozalisha kiwango kisicho cha kawaida kwa kuwapiga mabingwa watetezi 3-1 wakiwa Wembley.Real Madrid players look dejected during their Champions League defeat by Tottenham 

Wamiliki wa kombe la mabingwa ulaya ambao wameweka historia ya aina yake msimu ulio pita sasa wanapitia kipindi kigumu sana kwa kuweza kulitetea kombe ilo.

Kwenye kundi ilo ilo 2013 Borussia Dortmund wanapitia kipindi kigumu hivo hivo jana walipata aibu kwa kupata sare na Apoel 1-1.Bayern Munich beat Celtic but they have wobbled in their Champions League group this term 

Wajerumani wamekuwa na kampeni mbaya msimu huu wakipata alama mbili tu kwenye mechi na wanaweza wakakosa ata kombe la Europa. Kwa upande wa ndugu zao Bayern Munich ambao wapo kundi B wanatakiwa kufanya kazi ya ziada japo wanashika nafasi ya pili kwenye kundi hao wote wanaangaika kama Real Madrid, Barcelona na Atletico Madrid ambao wote wiki hii hawajapata ushindi.

Barca walibanwa mbavu na Olympiacos kwa sare ya 0-0 na wakiwa kwa mara ya kwanza kutoshinda kwenye atua ya makundi kwa miaka mitano japo watapita kwa hatua inayo fuata. Diego Simeone kwa upande wake yupo nafasi ya tatu na bado hawajashinda huku wakiwa na alama.tatu tuu kwenye kundi lao linalo wajumuisha Azerbaijan.

EBU TUJARIBU KUANGALIA AMBAZO ZINAWEZA ZIKATUSHANGAZA MSIMU HUU.

Paris Saint Germain

Wafaransa hawa wanaonekana kuwa moto safari hii kwa kuwavuta Neymar na kylian Mbappe. Wameshinda mechi zao nne zote ukijumuisha na ile ya Bayern Munich. Lakini hawajawahi fika mbali sana mara nyingi wakiishia robo fainali lakini kwa mwaka huu wanaweza wakatushangaza.

Vipi kuhusu timu za Uingereza?Man City players celebrate after the full-time whistle confirms their progression into last-16

Ndio, timu za uingereza zimekuwa na.msimu mzuri safari hii kabla ya chelsea kupigwa na Roma haijalishi yanawafanya wanadarajani  kupishana alama moja na waitaliano hao hakuna timu ya uingereza iliyoweza kufungwaThe 3-0 defeat by Roma leaves the Blues one point behind the Italians in their group

Manchester united, City, Liverpool na Tottenham wote wanaongoza makundi yao na hakuna.sababu ya kusema kwanini wasikae katika nafasi izo. Spues na City wameweza kupata michezo migumu lakini wameshinda.

Je kuna klabu nyingine ulaya?Roma are looking good in Group C and produced a clinical performance to thrash Chelsea

Roma wanaonekana wapo vizuri kwenye C na wamezalisha kiwango kizuri dhidi ya Chelsea 
mbali na hiyo japo hawafanyi vizuri kwenye Seria A inaonekana wapejipanga kwenye ligi ya mabingwa ulaya. Atuwezi kuisahau Juventus  pia hawafanyi kama wanavyo  fanya Roma wakiwa nafasi ya pili wakipishana na Barcelona kwa alama mbili wakiwa wameshinda michezo miwili. Gonzalo Higuain scored the equaliser as Juventus drew 1-1 with Sporting Lisbon

No comments:

Post a Comment

Pages