SPORTS: Nyota wa manchester City Leroy Sane ambae alikuwa mchango mkubwa kwenye kikosi cha Guardiola kwenye klabu bingwa ulaya kwenye atua ya makundi.
City waliweza kupata ushimdi wakitokea nyuma ya wenyeji wanaoongoza Serie A Napoli 4-2 kwenye muendelezo wa hatua ya makundi.
Nicolas Otamendi, John stones, Sergio Aguero na Raheem Sterling wote waliweza kuiona nyavu wakiwa Italia kusini.
Lakini alikuwa Mjerumani mwenye kipaji cha ajabu ambae aliwezwa kunaswa na baadhi ya wachambuzi pale alipokuwa kwenye dimba usiku wa Jumatano.
Mchambuzi mmoja wapo wa soka Martin Keown alisema ‘ Niliinuka kwenye kiti changu kwa goli la Aguero na Sane inanikumbusha yule Giggs mdogo.’
Aguero alishinda goli lake la 178 tangia ajiunge na city akitokea Atletico Madrid 2011 na kumfanya mshindaji pekee mwenye magoli mengi huku akimpita Eric Brook.
Aliekuwa naodha wa City Richard Dunne alisifia sana mabadiliko yaliyofanywa na Guardiola tangia msimu uliopita City ambao walimaliza nafasi ya tatu.
Alisema ‘ Imekuwa inamabadiliko kwenye klabu bingwa ulaya, City wameweza kubadilika msimu huu ulikuwa sio mpira wa kutisha lakini waliwafanya Napoli waonekane wapo chini ya kiwango.’
Jermaine Jenas aliongezea ‘ Ushangiliaji ulionesha ukali wao, unazani utawawezaje kuwazuia’
‘Napoli ni wazuri hasa pale wanapokuwa katika ushambuliaji na City walikuwa wazuri kwa hilo’
Home
Unlabelled
LEROY SANE 'ANANIKUMBUSHA RYAN GIGGS MDOGO'
LEROY SANE 'ANANIKUMBUSHA RYAN GIGGS MDOGO'
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment