'KUSHIKANA MKONO SIO MUHIMU, NI MUHIMU KUSHINDA MCHEZO' CONTE AKIMPUUZA MOURINHO BAADA YA KUMPIGA BOSS WA ZAMANI CHELSEA , STAMFORD BRIDGE..! - BZONE

'KUSHIKANA MKONO SIO MUHIMU, NI MUHIMU KUSHINDA MCHEZO' CONTE AKIMPUUZA MOURINHO BAADA YA KUMPIGA BOSS WA ZAMANI CHELSEA , STAMFORD BRIDGE..!

Share This
Mourinho was instead left to shake the hand of Conte's assistants on the benchSPORTS: Kocha wa Chelsea ametoa maneno kwa kusema 'sio muhimu sana' baada ya kushindwa kumpa mkono Jose Mourinho huku Chelsea ikimbamiza Man United 1-0  Jumapili.

Alvaro Morata aliweza kushinda goli pekee kwenye dimba la Stamford Bridge huku vijana wa conte wakijifariji baada ya kupokea kichapo katikati ya wiki kutoka Kwa Roma na jana kupata ushindi wa nguvu wakiwa nyumbani.Antonio Conte failed to shake Jose Mourinho's hand following Chelsea's 1-0 win

Hata ivyo baada ya kipenga cha mwisho, conte alimuacha mwenzake na kwenda kushangilia na mashabiki na kuingia uwanjani na kuwapongeza wachezaji wake.Conte chose to ignore Mourinho and decided to celebrate the victory with fans and players

Mourinho alitokea kusubiria mkono wa conte lakini wazi ilonekana muitaliano huyo alimpotezea mreno lakini baadhi ya wasaidizi wa Conte waliienda kumpa mkono Mourinho, Baada ya  kumaliza kushangilia conte alikaaa kwenye press na kusema.. 'mkono sio muhimu. muhimu ni kushinda mchezo kushikana mikono ingekuwa muhimu kwa kuleta matokeo ningempa, lakini cha umuhimu zaidi ni kile kichopo ndani ya uwanja' alisema kocha wa Chelsea.

Mourinho nae alionekana kwenye Press na kusema 'Conte alipotea kwahiyoo nikashikana mikono na wasaidizi wakw kwahiyoo hakuna tofauti.'

No comments:

Post a Comment

Pages