ENTERTAIMENT: Staa wa HipHip Nikki Wa Pili ameelezea kinachopelekea baadhi ya video za muziki wa HipHop Tanzania kuchelewa kupata VIEWS Wengi kwenye mtandao wa Youtube
Alifunguka hivi: 'Nikiangalia idadi ya wana Hip Hop kupata views zaidi ya milioni 1 ni wengi kwa mfano ukahesabu Joh makini, Darasa, Roma, Bilnas, Ay lakini sio kwamba nyimbo za Hip Hop hazipati views ata za kuimba pia ila kumbuka wanaopata views wengi ambao wanafanya nyimbo za kuimba majina yanajirudiaga ni wale wale utakuta ni Diamond, Ali kiba, Vanessa na Aslay. Hip hop hazipati views kwasababu mziki wa hip hop upigwe club lazima iwe club banger mziki wa kuimba unaingia popote kitu kingine ni kuwa na hipe mtandaoni vitu ambavyo wana hip hop na kuongeza ubunifu'
Home
Unlabelled
HII NDIO SABABU KWANINI NYIMBO ZA HIP HOP HAZIPATI VIEWS YOUTUBE, NIKKI WA PILI AFUNGUKA..
HII NDIO SABABU KWANINI NYIMBO ZA HIP HOP HAZIPATI VIEWS YOUTUBE, NIKKI WA PILI AFUNGUKA..
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment