- Ameanza fanya mziki tokea 2015, baada ya mixtapes, kolabo na Metro brown Album yake imetoka 2017
- Tatoo ya kisu kwenye kichwa chake ni heshima kwa kaka yake ambaye alipigwa risasi na kuuliwa alikua na tatoo hiyo hiyo
- Alishawahi pigwa risasi mara 6 kwenye siku yake ya kuzaliwa, risasi ya kwenye shingo ilikuwa kidogo imuue "Daktari aliniambia kupoteza damu yangu ingeniua ilikuwa ni miujiza”
- Ufanya dini ya Ifa ni inayotokea Afrika Magharibi
- Sasa hivi amekuwa mrithi wa Wiz khalifa kwa kutoka na Amber Rose
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment