SPORTS: Ni ujasiri wakuvutia, wanajiita wanamasoko, wanamaamuzi magumu, wengine wanavosema, ni sehemu ambayo inaweza ikawa inaangaliwa sana mda wote.
Liverpool walitupia jezi zao za tatu zenye rangi ya uchungwa yenye ujasiri ndani yake na isinge waacha njia potovu.
Kwa bahati nzuri kwa klopp alitoa neno kwa kiwango chao ukiachilia mbali mtindo wa jezi walioingia nao uwanjani.
Klopp alitaka ushindi ili kuweza kuadhimisha uwepo wake ndani ya Liverpool, lakini akuweza kufanya hivo kwa kipindi cha mda kazaa hapo katikati kutokana sababu zilizotajwa na watu kwa kile wachezaji wake hawawezi kuzalisha. Lakini ata kwa klabu Yenye ukoo mkubwa ulaya, hii ilikuwa ni rekodi iliovunjwa usiku wa jana.
Waliwateka nyara Maribor kwa magoli saba yasiyokuwa na majibu, wakijikumbushia magoli yao ya nyuma walioshinda 5-0, majogoo washawahi kufanikiwa ulaya kwenye miaka kazaa nyuma ambacho ni kitu kilichompa ujasiri Klopp
Klopp alisema 'Historia ya klabu hii ni nzuri sana na sasa tumeandika historia mpya nyingine ilikuwa ni ngumu sana kuifunga Maribor, kushinda 7-0 ni nadra sana.'
Mafanikio ya ushindi tunaweza tukamshukuru Mohamed Salah kwa uchezaji wake mzuri, Roberto Firmino na Philippe Coutinho ambao wameshirikiana kwenye magoli matano ya kwanza kabla ya Alex Oxlade-Chamberlain na Trent Alexander-Arnold kumailizia magoli mawili ya kufanya uharibifu kwenye dimba la Maribor, washambuliaji wa watatu wa Liverpool waliwapoteza kabisa mabeki wa Maribor, kwa kasi waliokuwa nayo, stadi na kuelewana kwao walizalisha alama mnamo mwa dakika ya 20 na ushindi wa ugenini kwa klabu kwenye ligi ya mabingwa ulaya tangia 2009. Ushindi huo wa jana umewafanya Liverpool kuongoza kundi lao kwa alama 5 wakilingana na Spartak Moscow huku wakiwa wamebakiza michezo miwili.
Home
Unlabelled
DANGANYA TOTO AU NDO KWELI? MOHAMED SALAH NA ROBERTO FIRMINO..ACHANA NAO, ALEX-OXLADE CHAMBERLAIN AOKOTA GOLI LAKE LA KWANZA AKIWA LIVERPOOL
DANGANYA TOTO AU NDO KWELI? MOHAMED SALAH NA ROBERTO FIRMINO..ACHANA NAO, ALEX-OXLADE CHAMBERLAIN AOKOTA GOLI LAKE LA KWANZA AKIWA LIVERPOOL
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment