CRISTIANO RONALDO HAPANA...AMEVAA KAMA CR7 ALIINGIA UWANJANI KUMUONA SHUJAA WAKE KABLA YA WALINZI KUMKAMATA WAKATI MADRID WAKISHINDA DHIDI YA GETAFE. - BZONE

CRISTIANO RONALDO HAPANA...AMEVAA KAMA CR7 ALIINGIA UWANJANI KUMUONA SHUJAA WAKE KABLA YA WALINZI KUMKAMATA WAKATI MADRID WAKISHINDA DHIDI YA GETAFE.

Share This
His plan was quickly foiled as the observant stewards rushed to escort him to the sidelinesSPORTS: Kama umejaribu kuingia uwanjani wakati timu yako ikiwa inacheza, usivae kama mchezaji moja wapo maarufu Duniani.. Ndiyo iyo ndo sheria namba 1.A fan trying to impersonate Cristiano Ronaldo was escorted away from the field on Saturday

Itakuja kuleta picha ya kila mmoja kuangalia kitachotokea, kila mmoja ataweza kuzania kwamba ndo yeye la asha kumbe sio yeye.Luckily, the real Ronaldo was on hand to volley home the winner in the 85th minute

Lakini mmoja ya mashabiki wanao tokea Los Blancos alitokea kuwa mtu alievuta hisisa za watu kumfuatilia pale alipochukua hatua ya kwenda na kumsogelea staa wake mashuhuli Cristiano Ronaldo. Shabiki huyo wa Ronaldo alijikuta akiwemo ndani  ya uwanja mnamo mwa dakika ya 21 ya Mchezo na kumuona Ronaldo mwenyewe.It was a crucial win for Madrid, who closed the gap on leaders Barcelona to five points

Katika mchezo huo ambao ulikuwa unawakutanisha wenyeji Getafe dhidi ya wageni wao Real Madrid, Madrid waliweza kuongoza bao la kwanza mnamo mwa dakika ya 39 kupitia mshambuliaji wake Karim Benzema lakini waliweza kurudishwa nyuma baada ya Jorge Molina alivyofyatua shuti la kusawazisha kwa Getafe baada ya mapumziko, baadae Ronaldo, mwenyewe!  Aliweza kuleta ushindi baada ya kupokea mpira toka kwa Isco ndani ya dakika ya 85 na kufanikisha kupunguza utofauti wa alama kati yao na Barcelona ni alama. Tano tu walizopishana.

No comments:

Post a Comment

Pages